Mkuu wa JKT na Mwenyekiti wa Kamati Kazi na Mipango (KKM), Meja Jenerali Charles Mbuge aongoza Wajumbe wa Kamati hiyo Septemba 3, 2020 kujionea maendeleo ya ujenzi wa Kiwanda cha Mabati JKT kilichopo Jijini Dodoma, ambacho kinatarajia kuanza kazi hivi karibuni.