Mkuu wa JKT Meja Jenerali Charles Mbuge (kushoto) akipokea pongezi kutoka kwa katinu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt Aloyce Nzuki baada ya SUMAJKT kuanza ujenzi wa bweni la wanafunzi wa chuo cha uhifadhi wa wanyamapori (MWEKA) Mkoani Kilimanjaro.