Mkuu wa JKT Meja Jenerali Charles Mbuge akimkabidhi zawadi Mwambata Jeshi wa Misri Nchini Brigedia Jenerali Khaled Mousbah baada ya kikao cha Mashirikiano baina ya Majeshi ya Nchi hizo mbili hususani JKT, kwenye nyanja za kilimo uvuvi na viwanda.
Mkuu wa JKT Meja Jenerali Charles Mbuge akimkabidhi zawadi Mwambata Jeshi wa Misri Nchini Brigedia Jenerali Khaled Mousbah baada ya kikao cha Mashirikiano baina ya Majeshi ya Nchi hizo mbili hususani JKT, kwenye nyanja za kilimo uvuvi na viwanda.
JKT huwajenga vijana kuwa waaminifu, wakweli na wakutegemewa na Taifa
Kuandaa vijana kuwa jamii yenye mshikamano na umoja wa kitaifa bila kujali itikadi zao za kitamaduni, kisiasa na kidini.
Kuandaa vijana kuwa na moyo wa kujituma na kujitolea.
Huwaandaa vijana wawe na moyo wa uzalendo, udugu na kuipenda nchi yao.
Kuwafundisha vijana kuwa watiifu na wenye heshima.
Kuwaanda vijana kuwa jamii yenye kutekeleza wajibu na moyo wa kupenda kufanya kazi