Tanzania emblem
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

JESHI LA KUJENGA TAIFA -JKT

Karibu

Moja ya vyombo vilivyoundwa na Serikali ya Tanganyika mara tu baada ya Taifa hili kupata uhuru ni Jeshi la Kujenga Taifa lililoasisiwa tarehe 10 Jul 1...
Soma zaidi

Dira

Kupitia mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa, hatimaye Tanzania iwe ni jamii yenye nidhamu, umoja, uzalendo , undugu, ukakamavu na kupenda kazi.

Dhima

Kuwalea vijana wa Tanzania, ili kuwajengea nidhamu, uzalendo, ukakamavu na kuwafundisha ujuzi hatimaye kuchangia katika ulinzi wa Taifa na maendeleo ya kiuchumi

1
Kupenda kazi-Kuwaanda vijana kuwa jamii yenye kutekeleza wajibu na moyo wa kupenda kufanya kazi
2
Nidhamu - Kuwafundisha vijana kuwa watiifu na wenye heshima.
3
Uzalendo - Huwaandaa vijana wawe na moyo wa uzalendo, udugu na kuipenda nchi yao.
4
Kujitolea - Kuandaa vijana kuwa na moyo wa kujituma na kujitolea.
5
Umoja na Mshikamano - Kuandaa vijana kuwa jamii yenye mshikamano na umoja wa kitaifa bila kujali itikadi zao za kitamaduni, kisiasa na kidini.
6
Uadilifu-JKT huwajenga vijana kuwa waaminifu, wakweli na wakutegemewa na Taifa