Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini Jenerali Jacob Mkunda akikata utepe kuashiria uzinduzi wa zahanati ya Kikosi cha JKT Makuyuni mkoani Arusha,
Waziri wa Ulinzi na JKT Mhe. Innocent Bashungwa akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Zana na Mitambo ya Kilimo iliyokabidhiwa Jeshi la Kujenga Taifa kutoka Wizara ya Ulinzi na JKT. Kulia kwake ni Wazi...
Mkuu wa JKT Meja Jenerali Rajabu Mabele akipata maelezo kutoka kwa Kamanda wa Opersheni Luteni Kanali Edward Mwanga kuhusu ujenzi wa nyumba za makazi Msomera katika wilaya ya Handeni, Mkoani Tanga.
Mkuu wa JKT Meja Jenerali Rajabu Mabele akikagua mfumo wa kuunganisha umeme katika chuo cha ufundi stadi cha Maramba JKT VETA, mkoani Tanga, baada ya kupata maelezo kutoka kwa Wanafunzi wa Chuo hicho.
Mkuu wa wilaya ya Songea Mjini Mhe Poloteto Kamando kwenye picha ya pamoja na vijana wa JKT Mujibu wa Sheria katika kambi ya JKT Mlale mkoani Ruvuma baada ya kuhitimu mafunzo yao, wa tatu kulia mbele...
Mkuu wa JKT Meja Jenerali Rajabu Mabele akizungumza na Vijana wanaopatiwa mafunzo ya JKT kwa Mujibu wa Sheria katika kambi ya JKT Maramba mkoa wa Tanga
Moja ya vyombo vilivyoundwa na Serikali ya Tanganyika mara tu baada ya Taifa hili kupata uhuru ni Jeshi la Kujenga Taifa lililoasisiwa tarehe 10 Jul 1... Soma zaidi
Dira
Kupitia mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa, hatimaye Tanzania iwe ni jamii yenye nidhamu, umoja, uzalendo , undugu, ukakamavu na kupenda kazi.
Dhima
Kuwalea vijana wa Tanzania, ili kuwajengea nidhamu, uzalendo, ukakamavu na kuwafundisha ujuzi hatimaye kuchangia katika ulinzi wa Taifa na maendeleo ya kiuchumi